Verse 1
Sauti kubwa, yatoka mbinguninyawaitaita nyote njooni kwangu
Nawangojea, tena namtumanmjumbe wangu aje kuwachukua
Chorus
[s] Aje aje aje ee ee aje kuwachukuan[w] Mjumbe wangu *2, aje kuwachukua
Verse 3
Nawangojea, tena namtumankama kondoo katika mbwa mwitu
Verse 4
Habari hizi, ndugu twazisoma
Mathayo kumi mstari kumi na sita