SectionsExitSasa Nitayasimulia

Sasa Nitayasimulia

Ordinary TimeExit
Chorus

Sasa nitayasimulia matendo ya Bwana

Nami (nami) nitayadhihirisha mambo (mambo) yale yote niliyoyaona

Kwa Neno la Bwananvimekuwapo viumbe vimekuwapo viumbe vyote

Na kazi impendezayo (kweli) ni sawasawa na amri yake

Verse 2

Jua litoapo nuru hudhihirika pahali pote

Na kazi ya Bwana imejaa utukufu

Verse 3

Yeye huchunguza vilindi pia na moyo

Wa binadamu na kuyatambua mashauri yake ya siri

Verse 4

Maana aliye juu amaizi yote

Yalo ujuzi naye hupendezwa na ishara za ulimwengu