Verse 1
Sasa ndio wakati wa kutoa sadaka
Kila mtu aanze kujifikiria
Chorus
Zilete zilete, zilete kwa Bwana
Zilete zilete zilete kwa Bwana
Verse 3
Tolea moyo wako, pia matendo yako
Naye Bwana Mungu wangu, atakubariki
Verse 4
Wiki nzima Bwana Mungu, amekulinda vyema
Sasa nawe ndugu yangu, ujifikirie
Verse 5
Kumbuka jinsi Yesu, alivyojitolea
Pale msalabani, kwa ajili yako
Verse 6
Baraka zake Mungu, za Baba na za Mwana
Na za Roho Mtakatifu ziwe nanyi nyote