SectionsExitSalamu Salamu Malkia

Salamu Salamu Malkia

Marian,Marian,Marian,Marian,Marian,Marian,Marian,MarianExit
Verse 1

Salamu salamu malkia wa mbingu Salamunsalamu mama wake Mungu (sisi wananwako twaja mbele yako, tupokee mamansisi mali yako) *2

Verse 2

Kukupenda wewe ndio heri yetunkukuomba wewe tumaini letu, ee mamanmpole mwenye uso mpole utuhurumienutusaidie

Verse 3

Yesu kakupenda akakuteua, kuwa mamanyake akakuteua umebarikiwa umejaanneema jina lako mama litukuzwe kote

Verse 4

Hapa duniani utusaidie, na adui mwovunutuepushie utuangalie, utusimamie, eenmama mwezaji utusaidie