Chorus
Salamu Mama Mtakatifu wa Mungu
Uliyemzaa Mfalme mwenye kutawala Mbingu na dunia
Daima na milele
Salamu Mama Mtakatifu wa Mungu
Uliyemzaa Mfalme mwenye kutawala Mbingu na dunia
Daima na milele }
Verse 2
Bwana ana fadhili, ni mwingi wa huruma
Si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema
Verse 3
Bwana huwahifadhi wote wampendao
Na wote wasio haki atawaangamiza