SectionsExitSalamu Mama Maria

Salamu Mama Maria

MarianExit
Verse 1

Salamu mama maria Salamu Salamu

Salamu mama maria, twakusalimu mama yetu

Chorus

Ni maama wa mkombozi, ni mama mwenye huruma, ni mama mpendelevu.

Ni mwenye neema nyingi*2

Verse 3

Ni mama mtakatifu ni mama yetu Maria

Ni mama wa mkombozi, ni mama mpendelevun

Bikira mwenye heshima, ni mama yetu Maria,nbikira mwenye huruma ni mama yetu marian

Ni nyota ya asubuhi ni mama yetu marianbikira wa mabikiran

Ni mama mstajabivunni mama wa familian

Malkia wa malaika

Malkia wa mashahidi