Verse 1
Tumsifu Maria, enyi wanawe
Tumtolee salamu, tumshangilie
Chorus
Salaam, salaam, salaam, Maria
Salaam, salaam, salaam, Maria.
Verse 3
Nyota ya bahari, mlango wa mbingu
Mwondoa hatari Mama wa Mungu
Verse 4
Nyota ya bahari, mlango wa mbingu
Mwondoa hatari Mama wa Mungu
Verse 5
Hatuna mwombaji aombeaye
Kwa Kristu Mwokozi kuliko wewe
Verse 6
Mametu mbinguni tumshangilie
Mwanao mpenzi pamoja nawe