SectionsOffertorySadaka Yetu Bwana

Sadaka Yetu Bwana

Ordinary Time,MarianOffertory
Chorus

Sadaka yetu Bwana, twaomba upokee

Ni mazao ya mashamba yetu ee Baba upokee *2

Verse 2

Mkate na divai, na pia nafsi zetu

Ni zawadi yetu kwako, ee Baba upokee

Verse 3

Na fedha za mifukoni,mazao ya mashamba,

Ee Baba, kazi zetu, twaomba upokee(sadaka)

Verse 4

Pokea na nyoyo zetu, miili yetu pia

Ee Baba utupokee, tulio wana wako(sadaka)

Verse 5

Pokea tunakuomba, ingawa ni kidogo

Kwa unyenyekevu Baba, tunavileta kwako

Verse 6

Zawadi hii twaitoa, kwa sifa yako wewe,

Kwa ajili yetu sisi, nazo jamaa wetu (sadaka)