Jiandae wiki nzima weka tayarinsadaka yako mkristu (toa kwa moyo safi)
Usitoe kwa uchoyo wala sadaka ya kuaziman{(jasho lako) umtolee Mungu alicho kupa hahitaji zaidin(maana) Vitu vyote mali yake toa kwa ukarimu } *2
Ninaona hasara kutoa (nanung'unika)
Bwana ona mi nilivyo changanyikiwa
Mara nyingi naomba jirani (hapa kitini)nsiyo yangu ni sadaka ya kuazima
Ninaona uchoyo kutoa (sadaka yangu)nninaleta kidogo tena kwa uchungu
Mara nyingine sitoi kitu (nilicho nacho)nninaficha sadaka yangu mfukoni
Ninaona aibu kubaki (ni wasiwasi)nnimeketi nao wengine wanatoa
Mara nyingine hata siendi (nimekimbia)nkanisani ninahepa michango nyingi
Wana baraka wanaotoa (kwa moyo ule )nwa Abeli wa Ibrahimu na Isaka
Bwana Mungu haipendi sadaka (yake Kaini)nwala yule Anania na Safira