Chorus
{ Rudisheni talanta zenu,
Rudisheni talanta zenu kwa Bwana } *2
Kama wale wawili walivyorudisha
Talanta mbili na tano faida
Nanyi pia, rudisheni talanta zenu kwa Bwana *2
Verse 2
Rudisheni talanta kama wawili walivyorudisha
Mbili na tano fa-ida
Verse 3
Ukificha talanta, utanyang`anywa, na kupewa yule,
Aliyeleta na faida
Verse 4
Ukifanya hesabu, na Mungu wako kwa zile talanta,
Mrudishie na faida