SectionsExitRoho Yangu Yashangilia

Roho Yangu Yashangilia

MarianExit
Chorus

Moyo wangu wamuadhimisha

Wamuadhimisha Bwana, na roho, rohonyangu, Roho yangu yashangilia, (shangilia)nyashangilia, Roho yangu yashangilia,nkatika Mungu wangu

Verse 2

Kwa kuwa amemuangalia kwa hurumanmtumishi wake, tangu sasa vizazi vyote,nwataniita mwenye heri kwani yeye aliye

Mwenyezi amenitendea mambo makuu

Jina lake ni takatifu, jina lake ni takatifu

Verse 3

Huruma yake ni kwa wote kwa walenwote wamchao kizazi hata na kizazi,nkizazi hata na kizazi x2

Verse 4

Amewaondosha wenye enzi, kutoka kwankiti cha enzi, kawakuza wanyenyekevu,nkawakuza wanyenyekevu. Amewashibishanwenye njaa, amewashibisha na memanmatajiri kawarudishi, rudisha mikononmitupu

Verse 5

Amempokea mtumishi wake, mtumishinwake Israeli, kama alivyowaambia,nwaambia mababu zetu mababu zetu

Ibrahim, Ibrahim wa wazao wake milelenhata na milele, milele hata na milele

Verse 6

Atukuzwe ee Mungu Baba, atukuzwenna Mungu Mwana naye Roho Mtakatifu,nnaye Roho Mtakatifu kama mwanzo nansiku zote, siku hata milele. Siku zote hatanmilele, siku zote hata milele