Chorus
{ Roho ya Bwana imeujaza ulimwe-ngu
Nayo inayoviunganisha viumbe vyote ee
Hujua maana ya kila sauti aleluya } *2
Verse 2
Kama Roho Mtakatifu alivyowajalia
Petro akasema kwa sauti kubwa
Verse 3
Watu wa Uyahudi nanyi jueni
Jueni jambo hili mkalitimize
Verse 4
Watu wa Uyahudi nanyi jueni
Jueni jambo hili mkalitimize