SectionsExitRamani Ya Mbinguni

Ramani Ya Mbinguni

Lent,Wedding,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Naisafisha njia (mimi) - njia iendayo Mbinguni *2

Nilikoahidiwa (mimi) - makao ya milele mimi

Naisafisha njia - njia iendayo Mbinguni

Tena - Sina wasiwasi, wala - hofu ndani ya moyo

Kwa kuwa - ninayo ramani, ramani ya mbinguni

Tena - ninapoisoma, hii ramani ya mbinguni

Nakiri - nitauona, upendo wa Mungu kwangu

Verse 2

Asante Bwana Mungu - (aee) aee (aee) aee (aee)

Kwa kunipenda mimi - ae ee aeee aee

Ukanipa ramani - (aee) aee (aee) aee (aee)

Ramani iniongoze inifikishe uliko ee Mungu wangu.

Verse 3

Asante Bwana Yesu -

Kwa kunipenda mimi -

Ukaja duniani -

Ili tu unikomboe unitoe utumwani mwake shetani

Verse 4

Asante Roho mtakatifu -

Kwa kunipenda mimi -

Kwani huniongoza

Katika hii safari kuelekea mbinguni kwa Mungu Baba