Chorus
Ngoja nikusimulie ndugu yangu raha ya Mbingunin(kwa kweli)
Mbinguni kuna raha, ni hakika kuna raha } * 2n{Ni raha (ni raha) mbinguni ni raha ni raha tu
Mbinguni ni raha,nni raha (Mbinguni) ni raha ni raha tu
Mbinguni ni raha
Ni raha ni raha ni raha (kweli) mbinguni ni raha}
Verse 2
Huko watu hawafi kamwe - ni raha tu
Huko hakuna ma-gonjwa
Huko hawaijui huzuni
Mbingu ni raha ndugu
Verse 3
Malaika huimba huko
Wateule husifu huko
Watakatifu husujudia
Mbinguni ni raha ndugu
Verse 4
Kila nyumba ni kwake Mungu
Ndiyo yerusalem mpya
Huko yuko mama maria
Mbinguni ni raha ndugu
Verse 5
Tukitubu tutaingia
Tutamwona mwokozi Yesu
Tutasifu milele yote
Mbinguni ni raha ndugu