SectionsExitRafiki Yangu Njoo

Rafiki Yangu Njoo

Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Verse 1

Rafiki yangu njoo kaa chini, nisikilize kwa makini

Rafiki njoo kaa chini ,nikueleze jambo moja aah

Chorus

n{Kila mtu atalipwa sawasawa na matendo ooh

Kila mtu atalipwa sawa nayo matendo yake } * 2

Verse 3

Kama uliua kwa upanga, utakufa kwa upanga

Uliua kwa silaha, utakufa kwa silaha aah

Verse 4

Kama ulikuwa ni mzinzi, utakufa kwa uzinzi

Ulikuwa mzinifu, utakufa kwa uzinzi iih

Verse 5

Kama ulikuwa mfitini, utalipwa ufitini

Ulikuwa mfitini, utalipwa ufitini iih

Verse 6

Kama ulikuwa mkarimu, utalipwa ukarimu

Ulikuwa ni mchoyo, utalipwa sawa na choyo ooh

Verse 7

Kama ulinitendea wema, utalipwa matendo mema

Ulinitendea baya, utalipwa kwa ubaya aah