Chorus
Bwana ndiye fungu la posho langu,
Na la kikombe changun{Wewe unaishika kula yangu,
Nimemwambia Bwana, Bwana
Wewe ndiwe Bwana wangu } *2
Verse 2
Nitamhimidi Bwana aliyenipa shauri
Na mtima wangu, umenifundisha usiku
Nimemweka Bwana mbele yangu daima
Kwa kuwa yuko kuumeni kwangu sitaondoshwa
Verse 3
Kwa hivyo moyo wangu, unafurahi moyo wangu
Washangilia, nao mwili wangu utakaa
Kwa kutumaini, Maana wewe Bwana
Hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu
Verse 4
Utanijulisha njia, njia ya uzima
Mbele ya uso wako, ziko furaha tele,
Na katika mkono wako wa kuume
Mkono wa kuume mna neema ya milele
Verse 5
Mungu nihifadhi mimi, maana nakukimbilia
Wewe Mungu wangu, Bwana ndiwe Bwana wangu,
Wewe Bwana ndiwe fungu la posho langu
Na la kikombe changu wewe unaishika kula yangu