SectionsExitPokeeni Roho Mtakatifu

Pokeeni Roho Mtakatifu

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Pokeeni (pokeeni) Roho Mtakatifu atakayenwajia juu yenu muwe mashahidi wangu siontu wa Yerusalemu bali kwa mataifa yote

Verse 2

Akiisha kusema hayo, walipokuwanwakitazama akainuliwa wingunlikampokea kutoka machoni paon

Verse 3

Mara walipokuwa wakitazamanwakaja watu wawili wakawaambianalivyochukuliwa kwenda mbinguni vivyonatakuja kutoka mbinguni

Verse 4

Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu,nkutoka mlima uitwao Mizeituninwakaingia ghorofaninwakimngoja Roho Mtakatifu

Verse 5

Hata ilipotimiasiku ya Pentekoste,nwalikuwapo wote mahali pamoja

Wakajazwa na Roho Mtakatifu,nwakaanza kulihubiri neno