SectionsThanksgivingPokeeni Kwa Bwana

Pokeeni Kwa Bwana

Lent,Wedding,Ordinary Time,Wedding,WeddingThanksgiving
Chorus

Pokeeni kwa Bwana wingi wa baraka

Kwa ndoa yenu takatifu

Verse 2

Wanaume inawapasa kuwaheshimu wake zao

Verse 3

Wanaume wawaonyeshe wake zao pendo la Kristu

Verse 4

Nao wake wawafuate waume zao kama Kristu

Verse 5

Kila mtu ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe

Verse 6

Wanaume watawaacha baba zao na mama zao

Verse 7

Ataungana na mkewe na watakuwa mwili mmoja

Verse 8

Hili ni fumbo la upendo kati ya Kristu na kanisa