Pokea Sifa Zangu
Thanksgiving
Chorus
Ninakupenda Mungu (wangu) ninakupenda wewenmilele na milele (bwana) nitakutukuza.
Pokea sifa zangu (bwana) zinazotoka katikankinywa changu (ndani) mimi na moyoni mwangun
Verse 2
Katika makusanyiko, nitaziimba zaburi,nnitazitangaza sifa, zako daima milele
Kwenye madhabahu yako, nitaitoa sadaka,nile ya kukupendeza,nee Mungu Muumba wangu.
Verse 3
Umenitendea mengi, mema yasiyo idadi,nninakushukuru Bwana, ee Baba Muumbanwangu. Nikiyakumbuka yote, machozinyanimwagika, ni machozi ya furaha, ninmachozi ya upendo.
Verse 4
Usiniache ee Bwana, na wala usinitupe,nukinitupa wewe, nani ataniokota. Ndiwenmsitiri wangu, katika dunia hii, dunianyenye mateso, na yenye mahangaiko