Chorus
Pokea moyo wangu ee Mungu wangu
Niweze kukupenda kwa pendo lako
Unipe moyo wako, ewe Yesu Mkombozi wangu
Shinda kwangu, nami daima kwako
Verse 2
Onjeni muone kwamba Bwana yu mwema
Na heri yule mtu anayetumaini Yesu Kristu
Verse 3
Katika nguvu za giza katutoa
Na kutukaribisha katika ufalme wa upendo
Verse 4
Habari njema alituhubiria na kutufungulia
Akatangaza mwaka wa neema
Verse 5
Mchungaji wangu mkuu ndiye Bwana Yesu,
Sikosi kitu kamwe kuniongoza kwenye njia nyofu