SectionsEucharistPokea Moyo Wangu

Pokea Moyo Wangu

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Pokea moyo wangu ee Mungu wangunniweze kukupenda kwa pendo lako,n(unipe moyo wako, ewe Yesu Mkombozinwangu shinda kwangu nami daima kwako) x2

Verse 2

Onjeni muone kwamba Bwana yu mwemanna heri yule mtu anayetumaini Yesu Kristu

Verse 3

Katika nguvu za giza katutoanna kutukaribisha katika ufalme wa pendo lake

Verse 4

Habari njema alituhubiria na kutufungulianakatangaza mwaka wa neema

Verse 5

Mchungaji wangu mkuu ndiye Bwana Yesunsikosi kitu kamwe kuniongoza kwenyennjia nyofu