Pokea Bwana
Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1
Furaha mateso yetu
Bwana tunakutolea mikononi mwako-
Pokea sadaka ewe Bwana wetu tunayokutolea leo
Chorus
[t:] Pokea Bwana *2, Ee Bwana Pokea *2
Pokea Bwana ewe Bwana wetu tunayokutolea leo
Verse 3
Mazao ya kazi zetu zote,ntunakutolea Baba Mungu wetu-
Verse 4
Pokea mkate na divai,nndiyo alama ya agano jipya-
Verse 5
Hivi ndio mwili na damu ya Kristu,
Ndiyo imani ya wakristu-
Verse 6
Atukuzwe Baba na mwana na Roho,
Mwanzo leo kisha milele-