Pokea Bwana

Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1

Furaha mateso yetu

Bwana tunakutolea mikononi mwako-

Pokea sadaka ewe Bwana wetu tunayokutolea leo

Chorus

[t:] Pokea Bwana *2, Ee Bwana Pokea *2

Pokea Bwana ewe Bwana wetu tunayokutolea leo

Verse 3

Mazao ya kazi zetu zote,ntunakutolea Baba Mungu wetu-

Verse 4

Pokea mkate na divai,nndiyo alama ya agano jipya-

Verse 5

Hivi ndio mwili na damu ya Kristu,

Ndiyo imani ya wakristu-

Verse 6

Atukuzwe Baba na mwana na Roho,

Mwanzo leo kisha milele-