Ninyi ndinyi mmenikamilisha kamilisha (hadi)
Hadi nikawa hi-vi mi-mi nilivyo (ndugu zangu)
Ni Mungu Baba ndiye aliyetukutanisha (japo)
Japo hatulingani tumekamilishanan{Katika pendo lenu - ndipo nimeelewa jinsi Mungu alivyo
Nimemuona - Mungu macho kwa macho } *2
[ s ] Nikiwa na njaa -
Ni ninyi marafiki zangu mnimegeao mkaten[ a ] Penye machungu na maumivu makali -
Ni ninyi marafiki zangu mwaniuguza majerahan[ t ] Nikitawaliwa na hofu -
Ni ninyi marafiki zangu mnaonipa moyo upyan[ b ] Tena nikipotea njia -
Ni ninyi marafiki zangu mwanirudi mwanikosoan
Ona tunavyosaidiana hima, wenyewe kwa wenyewe,
Wakati wa furaha hata wa shida
Tumeweka mbali tofauti kidaraja na mali
Bahati iliyoje kuwa pamoja
Ona chuki, wivu, fitina, umimi, havimo kati yetu
Wakati wa furaha hata wa shida
Tumeweka msingi imara usiotikisika
Bahati iliyoje kuwa pamoja
{ Pendo pendo pendo pendo -npendo letu lidumu milele
Tuombeane tusaidianeni -nwaone Mungu kati yetu } *2
Wasitenganishwe - wapendanao
Waombeeni - baraka telensitenganishwe - wapendanao
Waombeeni - baraka tele, pendo na lidumu