SectionsEntrancePalikuwa Na Kijana Mmoja

Palikuwa Na Kijana Mmoja

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Verse 1

Palikuwa na kijana mmoja jina lake Samweli,

Alikuwa akimcha Mungu tangu utoto wake

Chorus

Alisikia sauti Ikimwita, Samweli, Samweli *2

Verse 3

Alikuwa 'kiitwa na Mungu, lakini hakujua,

Alikimbilia kwake Eli, Eli hakuelewa

Verse 4

Aliitwa naye Mungu tena, wala hakufahamu,

Eli 'kashangaa akasema: Mimi sikukuita

Verse 5

Alipoitwa mara ya tatu, Samweli akajibu:

Nena, Bwana, mtumishi wako anatega sikio.

Verse 6

Mungu akawa pamoja naye, na Israeli nzima