SectionsEntranceNyumbani Mwake Bwana

Nyumbani Mwake Bwana

Pentecostal,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Pentecostal,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Nyumbani mwake Bwana tuingie kwa furaha.

Twendeni tumwabudu tunjongee mbele zake. *2

Verse 2

Njoni tumsujudu yeye aliyetuumba

Yeye anatawala kwa haki na uamini.

Verse 3

Yeye ni Mungu mwenye utukufu wa ajabu

Yeye ni Mungu mwenye radhi nyingi na rehema.

Verse 4

Bwana ni mtawala amejaa utukufu na mashuhuda

Yake yastahili imani.

Verse 5

Yeye ni Mungu wetu wa amani na mapendo

Yeye ni Mungu mwenye utukufu wa ajabu.

Verse 6

Tumpigie shangwe mwamba wa wokovu wetu

Ni Mungu wa ujuzi na ni Mungu wa fahamu.

Verse 7

Na kwa nyimbo za sifa tujongee uso wake

Vifijo na nderemo tumsifu Mungu wetu

Verse 8

Na enyi waadili tukuzeni jina lake

Mfanyieni shangwe yeye aliyetuumba.