SectionsEntranceNyumbani Mwa Bwana

Nyumbani Mwa Bwana

Ordinary Time,MarianEntrance
Chorus

Nyumbani mwa Mungu twingie kwanfuraha na kumwabudu.

Verse 2

Bwana asema: Nyumba yangu,nitaitwa nyumba ya sala.

Verse 3

Ndani yake kila aombaye upokea,nabishaye ufunguliwa.

Verse 4

Panapokusanyika wawili au watatu kwanjina langu, mimi nipo katikati yao.

Verse 5

Kweli Bwana yupo mahali hapa,nhapa ni mlango wa mbingu.