SectionsEntranceNyota Ya Bahari

Nyota Ya Bahari

MarianEntrance
Verse 1

(Bara na bahari furahini sana

Tumemulikwa na nuru ya Mbinguni) x2

Chorus

Tumemulikwa na nyota ya bahari

Bikira daima (mulika) mulika nyoyo zetu

Tumeona leo mwangaza wa kweli

Somo wa kanisa (mulika) mulika njia zetun{(Mama) Mama tuombee, mamantuongoze, Kwa mwanao Yesu, kulenuwinguni } x2

Verse 3

Pendo lako mama, limetuvutia

Tunatangaza sifa zako kwa nyimbo

Bara shangilia, bahari ivume

Tumsifu mama, mama wa Maulanan

Piga tarumbeta, pigeni mluzi

Imbeni wimbo wa mama wa Mulungu

Chezeni pamoja, ruka juu juu

Mama wa Yesu afurahi Mbingunin

Mama wa Mwokozi, Malkia wa Mbingu

Mwanga angavu somo wa kwaya yetu

Uliyekingiwa dhambi ya asili

Daraja letu tuendao Mbingunin

Nyota za angani zamulika nchi

Mama Maria anamulika nyoyo

Usiku mchana anatuangaza

Tunatembea na nuru siku zote