Nyanyukeni

Ordinary Time,MarianEntrance
Chorus

Nyanyukeni waumini wote tufanyenshangwe kwa nderemo, kwa vigelegelenna kwa vifjo x2 Bwana asifwe (sana),

Bwana asifwe x2 (kweli) mwadhaninaragoshuo x2

Verse 2

Nikiziangalia mbingu ni kazi ya vidolenvyako, mwezi na nyota za mbinguninulizoratibisha wewen

Verse 3

Uwezo wake Bwana Mungu haupimikinkwa mizani, mipango yake kwetu sisinhaiwezi kubadirishwa

Verse 4

Alikausha bahari ya shamu ikawa nchi kavu,nwaisraeli wakapita kwa uwezo wa

Mungu Baba.

Verse 5

Natupigeni tarumbeta vinubi hata nanmatari, tuimbe wimbo wake Musa na ulenwa Mwana Kondoo

Verse 6

Pazeni sauti zenu kwa shangwe hata na vifjo,nsifa pia na utukufu tumpe Bwana siku zote