Chorus
Nyanyukeni waumini wote tufanyenshangwe kwa nderemo, kwa vigelegelenna kwa vifjo x2 Bwana asifwe (sana),
Bwana asifwe x2 (kweli) mwadhaninaragoshuo x2
Verse 2
Nikiziangalia mbingu ni kazi ya vidolenvyako, mwezi na nyota za mbinguninulizoratibisha wewen
Verse 3
Uwezo wake Bwana Mungu haupimikinkwa mizani, mipango yake kwetu sisinhaiwezi kubadirishwa
Verse 4
Alikausha bahari ya shamu ikawa nchi kavu,nwaisraeli wakapita kwa uwezo wa
Mungu Baba.
Verse 5
Natupigeni tarumbeta vinubi hata nanmatari, tuimbe wimbo wake Musa na ulenwa Mwana Kondoo
Verse 6
Pazeni sauti zenu kwa shangwe hata na vifjo,nsifa pia na utukufu tumpe Bwana siku zote