SectionsExitNusu Kwa Nusu

Nusu Kwa Nusu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Verse 1

Ni yule yulee

Ni yule yulee

Ni yule yulee

Chorus

Mungu alivyo ooh hivyo ndivyo alivyo,

Mungu alivyo ooh hivyo ndivyo alivyo,

Mchana ni yule yule ( na ) usiku ni yule yule,n(Yeye) habadiliki ni yule, daima ni yule yule,n( ye ni yule Mungu) Mungu alivyo ooh

Hivyo ndivyo alivyo ndivyo alivyo

Verse 3

Alifundisha upendo akawafia wadhambi

Kahubiri msamaha kaombea wauaji

Anahimiza amani hata kwa wanaomkamata

Kweli Mungu habadiliki (yeye) ni yule yulee

Verse 4

Kaagiza ubatizo akabatizwa mwenyewe

Alihubiri huruma akawaponya wakoma

Anahimiza ibada naye hakutegea kusali

Kweli Mungu habadiliki (yeye) ni yule yulee

Verse 5

Lakini mwanadamu mimi- Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu *2n

Nahubiri upendo - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu

Huku nateta wenzangu - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusun

Nataka msamaha - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu

Huku nashitaki watu - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusun

Natangaza amani - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu

Huku nabeba silaha - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusun

Navaa msalaba - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu

Na hirizi kiunoni - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusun

Nina pete ya ndoa - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu

Na hawara mafichoni - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusun

Napaswa kugeuka - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu

Niwe mwenye msimamo - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu

Maana mwanadamu mimi - Mwanadamu mimi ni nusu kwa nusu *3