SectionsExitNota Mpaka Mbinguni

Nota Mpaka Mbinguni

Ordinary TimeExit
Verse 1

Tumetafiti tukauliza, maandiko tukafunua

Kutambua watakatifu, wanafanya kazi gani Mbinguni

Chorus

|s1| Usiku na mchana, jioni na asubuhi

Kiangazi masika mpaka Mbinguninn|s2| Tutamsifu Mungu, tutamwimbia

Watunzi tutampangia nota mpaka mbinguninn|a| Tutamsifu Mungu, tutamwimbia

Watunzi Tutampangia nota mpaka Mbinguninn |t| Tutamsifu, waimbaji tutamwimbia, watunzintutampangia nota mpaka Mbinguni (waumini)nn|b| Tutamsifu Mungu, tutamwimbia

Watunzi tutampangia nota mpaka Mbinguni

Verse 3

Enyi wasomi tuambieni, wanasayansi tujibuni

Katika mambo ya mbinguni, nini kinafanyika duniani

Verse 4

Tumetambua kule mbinguni, hakuna kwenda ofisini

Wala kumbi za burudani, hata kilimo hakuna lakini

Verse 5

Kumbe furaha za dunia hii, ni upumbafu ni wazimu

Na anasa za maadili, sisi waimbaji tumeamua

Verse 6

Waamini wote furahini, makasisi shangilieni

Nanyi watawa jiungeni, kwa waimbaji hakuna matata

Verse 7

Upendo wake ni wa ajabu, fadhili zake za milele

Huruma yake ni amini, msamaha wake unashangaza