Tumetafiti tukauliza, maandiko tukafunua
Kutambua watakatifu, wanafanya kazi gani Mbinguni
|s1| Usiku na mchana, jioni na asubuhi
Kiangazi masika mpaka Mbinguninn|s2| Tutamsifu Mungu, tutamwimbia
Watunzi tutampangia nota mpaka mbinguninn|a| Tutamsifu Mungu, tutamwimbia
Watunzi Tutampangia nota mpaka Mbinguninn |t| Tutamsifu, waimbaji tutamwimbia, watunzintutampangia nota mpaka Mbinguni (waumini)nn|b| Tutamsifu Mungu, tutamwimbia
Watunzi tutampangia nota mpaka Mbinguni
Enyi wasomi tuambieni, wanasayansi tujibuni
Katika mambo ya mbinguni, nini kinafanyika duniani
Tumetambua kule mbinguni, hakuna kwenda ofisini
Wala kumbi za burudani, hata kilimo hakuna lakini
Kumbe furaha za dunia hii, ni upumbafu ni wazimu
Na anasa za maadili, sisi waimbaji tumeamua
Waamini wote furahini, makasisi shangilieni
Nanyi watawa jiungeni, kwa waimbaji hakuna matata
Upendo wake ni wa ajabu, fadhili zake za milele
Huruma yake ni amini, msamaha wake unashangaza