Verse 1
Njooni wakristu tumwabudu Mungu- haiyaa
Njooni wote -nnjooni wakristu tumwabudu Mungu
Tuingie nyumbani nyumba yake Mungu- haiyaa
Twende sote -ntuingie nyumbani nyumba yake Mungu
Verse 2
Ni nyumba yake Mungu si nyumba ya unyang'anyi
Verse 3
Ni nyumba ya sala ya haki na amani
Verse 4
Njooni wakristu tumwimbie Mungu