SectionsEntranceNjooni Tuimbe Njooni Tucheze

Njooni Tuimbe Njooni Tucheze

Entrance
Chorus

Njooni tuimbe, njooni tucheze, njoonintufurahi mbele zake Bwana. Piga makofi,npiga vigelegele shangilieni Bwana leo asubuhi

Verse 2

Sauti ya kwanza semeni alelluya

Sauti ya pili tumsifu Yesu Kristu.

Sauti ya tatu na ile ya nnenwaseme pamoja milele amina

Verse 3

Wa mama wote pigeni vigelegele

Wababa wote vinanda vipigwe sana.

Pigeni filimbi, ngoma na kayamba.

Watoto wadogo wachangamkeni

Verse 4

Mataifa yote njooni mbele za Bwana.

Makabila yote simameni tuimbe.

Nyanyukeni nyote pigeni makof,nshangwe, nderemo, vifjo machezo

Verse 5

Bahari na vitu vyote vivijazavyo.

Milima, mito na miti shangilieni.

Ndege wa angani na warukeruke,nwanyama kondeni furahini sana.