Chorus
{Njooni kwangu (ni) niwafundishe hekima
Njooni mpate hekima }*2n{Niwafundishe upendo, niwafundishe kusali
Na niwafundishe kuimba
Njoni kwangu enyi wanangu nitawafundisha yote}*2
Verse 2
Ili tuwe na hekima, mpaka tumjue Mungu,
Kwani mwanzo wa hekima ni kumjua Mungu *2
Verse 3
Tukipata hekima, tumepata busara
Tumepata na elimu ya kumjua Mungu *2
Verse 4
Bwana Mungu anasema kwamba watu wangu
Wanaangamia wote kwa kukosa hekima *2
Verse 5
Niwafundishe kuishi maisha ya amani
Niwafundishe kunena maneno ya hekima