SectionsEntranceNjooni Hapa

Njooni Hapa

Pentecostal,Ordinary Time,WeddingEntrance
Verse 1

Njooni hapa - ninyi nyote mnaopendanan

Chorus

Aleluya, aleluya aleluya

Verse 3

Mpendane - kila siku maishani mwenu

Verse 4

Sisi sote - tumeshuhudia ndoa yenu

Verse 5

Nyumba yenu - iwe nyumba ya kufurahia

Verse 6

Na wazazi - wenu wote msiwasahau

Verse 7

Kwani sisi - tunafurahia ndoa yenu