Verse 1
Njooni hapa - ninyi nyote mnaopendanan
Chorus
Aleluya, aleluya aleluya
Verse 3
Mpendane - kila siku maishani mwenu
Verse 4
Sisi sote - tumeshuhudia ndoa yenu
Verse 5
Nyumba yenu - iwe nyumba ya kufurahia
Verse 6
Na wazazi - wenu wote msiwasahau
Verse 7
Kwani sisi - tunafurahia ndoa yenu