Chorus
[s] Njoo tule mana- Mana ya Kristu manan[s] Njoo tule mana,n[t] Aa mana ya Kristu *2
Verse 2
Kila tulapo mwili wake Yesu na kunywa damu yake
Twatangaza kifo chake mpaka atakaporejea
Verse 3
Mkate kutoka nganoni ya nchi, hugeuzwa mwili wake
Kwenye ibada ya misa tuule ili tupate wokovu
Verse 4
Divai iliyo ya mizabibu, hugeuzwa damu yake
Kwenye ibada ya misa tuinywe ili tupate wokovu
Verse 5
Njooni tule mana yake Yesu , iliyotoka Mbinguni
Ni chakula cha roho, tuile tumeshiba daima