Verse 1
Njoo moyoni mwangu Bwana *2
Unishibishe mwili wako –
Unishibishe kwa mwili wako Bwana Yesu
Chorus
Ulisema alaye mwili wako
Ana uzima (iye iye) wa milele
Ulisema anywaye damu yako
Ana uzima (iye iye) wa milele
Verse 3
Njoo moyoni mwangu Bwana *2
Niburudishe kwa damuyo –
Niburudishe kwa damu yako Bwana Yesu
Verse 4
Mimi ni mdhambi ee *2
Unisafishe kwa damuyo –
Unisafishe kwa damu yako Bwana Yesu
Verse 5
Kaa ndani yangu ee Bwana *2
Na mimi nikae ndani yako –
Na mimi nikae ndani yako Bwana Yesu