Njoo Kwangu Ee Bwana Yesu
Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus
{ Njoo kwangu, ee Bwana Yesu, njoo kwangu
Shinda kwangu nami ndani yako
Nipe nguvu za kukupenda, niishi na wewe siku zote } *2
Verse 2
Moyo wangu unafarijika, ninapokupokea Yesu wangu
Sauti yako ninaisikia, unapoingia moyoni mwangu
Verse 3
Nafsi yangu inashangilia, Yesu wangu unaposhinda nami
Mwili wangu hupata tulizo, udhaifu wa mwili hutoweka
Verse 4
Nijalie furaha ya kweli, nidumu katika imani lako
Nijalie upendo wa kweli, niwapende wenzangu siku zote