SectionsEucharistNjoo Kwangu Ee Bwana Yesu

Njoo Kwangu Ee Bwana Yesu

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

{ Njoo kwangu, ee Bwana Yesu, njoo kwangu

Shinda kwangu nami ndani yako

Nipe nguvu za kukupenda, niishi na wewe siku zote } *2

Verse 2

Moyo wangu unafarijika, ninapokupokea Yesu wangu

Sauti yako ninaisikia, unapoingia moyoni mwangu

Verse 3

Nafsi yangu inashangilia, Yesu wangu unaposhinda nami

Mwili wangu hupata tulizo, udhaifu wa mwili hutoweka

Verse 4

Nijalie furaha ya kweli, nidumu katika imani lako

Nijalie upendo wa kweli, niwapende wenzangu siku zote