SectionsThanksgivingNitayasimulia Matendo

Nitayasimulia Matendo

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

Nitayasimulia matendo yako Bwana

Mungu wangu unayenipa nafasi tele

Unayejua kuishi kwangu siku zote

Mungu wangu unayenipa nafasi tele

Chorus

Ulinijua Bwana tangu ningali tumboni

Maisha yangu umepanga yangali vema

Mimi niutazame uso wako katika hakin(Na sasa) Niamkapo nishibishwe!

Nishibishwe! Nishibishwe (eeeh)

Niamkapo nishibishwe

Nishibishwe kwa sura yako

Verse 3

Umenipa uhai na hewa ya kutosha -

Mvua pia jua za kunilisha mimi -

Verse 4

Elimu maarifa yasiyo na kifani -

Niko na miguu nimejua kufanya kazi -

Verse 5

Kazi zangu zote umenipa wewe Bwana -

Ninajua wengi siyo kama mimi Bwana -

Verse 6

Kwa hayo yote sina budi kukushukusu -

Wabariki yatima pia mama wajane -