Nitatoa Nini Mimi

Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus

Nitatoa nini mimi ewe Mungu wangu,nkitakachokuwa sawa na fadhili zako,nwewe ni Bwana (wa rehema), fadhilinzako (za milele), nikupe nini (nikupe)nnikushukuru. Kama ni fedha (nazo ni zako)nhata mazao (ya mashamba) nikupe ninin(nikupe) nikushukuru

Verse 2

Mema mengi umenitendea eeh Mungunwangu, hata siwezi kukulipa, mara ngapinmimekukosea eeh Mungu wangu nanwewe ukanisamehe.

Verse 3

Usiku hata mchana wewe unanilinda,nhata hivyo sikukushukuru, umenilisha chakula ili nipate nguvu lakininsikukushukuru

Verse 4

ninajitolea kwako kimwili na kiroho,nvyote hata maisha yangu, nitaimbannikisema asante Mungu wangu, siku zotenhata milele

Verse 5

Nakutolea mkate ni mmea wa ngano,ndivai tunda la mzabibu, kwa fumbo lanmaji haya pia divai hii nishiriki umungunwako