Nitashukuru Mwenyezi
Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1
Nitakushukuru mwenyezi nitakuhimidinnitakutukuza Ee Bwana kwa kuwa u mwema
Chorus
Nitalisifu jina lako ewe bwana nitaziimbansifa zako milele kwa kua u mweman
Verse 3
Nalipokutafuta Bwana si kudhani kwambanunaishi ndani ya watu na sio anganin
Hivyo umenifungulia shetani muongonwanielezapo ya kwamba wee Mungu haupon
Wakuaminio Eee Bwana umewapa neemanumewafanyiza watoto wa wana wa mbingun
Basi nakupa moyo wangu njoo bwana
Mwkozi jitengenezee nafasi uishi milele