Nitasema
Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{ Nitasema, nitasema mimi, nitasema, Mwenyezi Mungu
Kumbe ndiwe furaha moyoni mwangu } *2n{ Kwa heshima nitakutukuza Mungu wangu,
Tena kwa ujasiri, nitasimulia matendo yako siku zote } *2
Verse 2
Umeniona ukanihurumia,
Na kwa upole ukanisaidia,
Na kwa thamani sana nami naapa,
Sitaacha kukusifu milele
Verse 3
Ee Bwana mimi ni kitu gani kwako,
Unitazame hata unikumbuke,
Nina furaha matumaini makubwa,
Maana wanijali, sikia
Verse 4
Ee Mungu wangu wewe ni nguvu yangu,
Mimi muovu nakiri unyonge wangu,
Ni nani tena aliye kama wewe,
Na tena wanijali, tazama