Nitasema

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

{ Nitasema, nitasema mimi, nitasema, Mwenyezi Mungu

Kumbe ndiwe furaha moyoni mwangu } *2n{ Kwa heshima nitakutukuza Mungu wangu,

Tena kwa ujasiri, nitasimulia matendo yako siku zote } *2

Verse 2

Umeniona ukanihurumia,

Na kwa upole ukanisaidia,

Na kwa thamani sana nami naapa,

Sitaacha kukusifu milele

Verse 3

Ee Bwana mimi ni kitu gani kwako,

Unitazame hata unikumbuke,

Nina furaha matumaini makubwa,

Maana wanijali, sikia

Verse 4

Ee Mungu wangu wewe ni nguvu yangu,

Mimi muovu nakiri unyonge wangu,

Ni nani tena aliye kama wewe,

Na tena wanijali, tazama