SectionsEucharistNitanjongea Meza Yako

Nitanjongea Meza Yako

Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Nitajongea meza yako ee Bwana

Bwana nipokee nakujan

Chorus

Ninakuja kwako ee Bwana (nikakupokee)

Ee Bwana kwani wewe ndiwe uzima x2

Verse 3

Chakula chenye uzima - ee Bwana

Huwashibisha wanyofu - wa moyo

Verse 4

Kinywaji chenye uzima - ee Bwana

Huwaponya wenye dhambi – ee Bwana

Verse 5

Naja sasa kwako Bwana – nipokee

Nipe neema zako Bwana – niponye