Chorus
Nitajongea altare ya Mungu
Aliye raha na roho yangu
Verse 2
Asifiwe Baba Mwana na Roho,
Siku zote hata milele
Verse 3
Malishoni mwa majani mabichi,
Hunilaza nikiwa naye
Verse 4
Machoni pangu ameniandalia ,
Karamu kuu kwa watesi wangu
Verse 5
Mezani pake ameniandalia,
Karamu kuu kwa watesi wangu