SectionsEucharistNitamhimidi Bwana

Nitamhimidi Bwana

Marian,Ordinary TimeEucharist
Chorus

{ Nitamhimidi Bwana,

Kila wakati sifa zake zi kinywani mwangu } *2

Katika Bwana nafsi yangu (nafsi yangu) itajisifun(itajisifu) wanyenyekevu wasikie wafurahi

Mtukuzeni Bwana (Bwana) pamoja namin(pamoja nami) tuliadhimishe jina lake pamoja

Bwana nafsi yangu (nafsi yangu) itajisifun(itajisifu) wanyenyekevu wasikie wafurahi

Mtukuzeni Bwana (Bwana) pamoja namin(pamoja nami) tuliadhimishe jina lake pamoja

Verse 2

Nalimtafuta Bwana akanijibu

Akaniponya na hofu zangu zote

Verse 3

Wakamwelekea wakatiwa nuru

Wala nyuso zao hazitaona haya

Verse 4

Maskini aliita Bwana akasikia

Akamuokoa na taabu zake zote