SectionsOffertoryNitakwenda Mimi Mwenyewe

Nitakwenda Mimi Mwenyewe

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeOffertory
Chorus

Nitakwenda mimi mwenyewe, nikatoe sadaka kwa Bwanan{ Aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi

Mungu wangu, Mungu wangu, Mungu wangu

Kwa kuniumba hadi nikapendeza } *2

Verse 2

Kaniumba kwa mfano wake, kuliko viumbe vingine

Na sasa nikatoe shukrani

Verse 3

Vyote nilivyo navyo ni vyake, nimrudishie kwa mapendo,

Na sasa nikatoe shukrani

Verse 4

Mema mengi amenijalia, ya mbinguni na duniani

Na sasa nikatoe shukrani

Verse 5

(Siku zote wanilinda vyema, wanitunza na kunijali

Na sasa nikatoe shukrani)