Nitakwenda Mimi Mwenyewe
Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeOffertory
Chorus
Nitakwenda mimi mwenyewe, nikatoe sadaka kwa Bwanan{ Aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi
Mungu wangu, Mungu wangu, Mungu wangu
Kwa kuniumba hadi nikapendeza } *2
Verse 2
Kaniumba kwa mfano wake, kuliko viumbe vingine
Na sasa nikatoe shukrani
Verse 3
Vyote nilivyo navyo ni vyake, nimrudishie kwa mapendo,
Na sasa nikatoe shukrani
Verse 4
Mema mengi amenijalia, ya mbinguni na duniani
Na sasa nikatoe shukrani
Verse 5
(Siku zote wanilinda vyema, wanitunza na kunijali
Na sasa nikatoe shukrani)