Nitakutukuza Mungu
Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Kwa kinywa changu Mungu wangu nitakutukuza,nkwa nyimbo nzuri nitaziimba sifa (zako )
Kwa kuwa Mungu wema wako kwangu mimi ni mkuu siwezi kuelezean{ Sina kitu Bwana cha kukupa (wewe)nkulingana na mema uloyatenda
Naitoa kwako nafsi yangu (Bwana)nnitendee unavyotaka } *2
Verse 2
Kama ni pumzi ya uhai umenipa bure,
Sauti nzuri ya kuimbia, yatoka kwako
Nakurudishia sifa na shukrani
Verse 3
Kama ni elimu, niliyo nayo ni mali yako,
Ujuzi na kazi niliyo nayo vyatoka kwako
Nakurudishia sifa na shukrani
Verse 4
Magonjwa mengi umeniponya ee Mungu wangu,
Na ajali nyingi umenikinga ee Mungu wangu
Nakurudishia sifa na shukrani