SectionsThanksgivingNitakusifu Mungu

Nitakusifu Mungu

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

{ Nitakusifu Mungu(Mungu) Mwenyezi

Kwa mema mengi Baba unayoyatenda } *4n{ Unastahili sifa milele (Bwana)

Utukufu na sifa zako milele } *2

Verse 2

Furaha yangu ni kubwa ee Mungu kukusifu kwa nyimbo nzuri na sala

Unipe neema zako ee Mungu niongoze katika maisha yangun

Verse 3

Mbingu zahubiri utukufu Mungu wangu bila uoga wowote

Anga yaitangaza kazi ya mikono yako ee Mwenyezi uliye juu

Verse 4

Fadhili zako ni za milele na uaminifu wako haupimiki

Nitaimba zaburi yako Bwana siku zote za maisha yangu