Nitakushukuru Kwa Moyo Wangu Wote
Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{ Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote } *2nn{ Mbele ya miungu nitakuimbia zaburi
Nitashukuru nikilikabili hekalu lako
Hekalu lako hekalu lako takatifu
Nitalishukuru jina lako Bwana (Bwana) *2 } *2
Verse 2
Kwa ajili ya fadhili na uaminifu wako
Wewe Bwana umeikuza ahadi yako
Kuliko jina lako na nilipokuita
Uliitika ukanifariji nafsi
Verse 3
Ee Bwana wafalme wote watakushukuru
Watakaposikia maneno ya kinywa chako
Naam wataziimba njia zako Bwana
Kwa maana utukufu wako ni mkuu