Nitakushukuru Bwana
Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{ Nitakushukuru Bwana
Bwana siku zote za maisha yangu, milele } *2n{ Unanilinda siku zote za maisha yangu
Ni mema mengi Bwana unayonijalia
Ni mema mengi yasiyo na hesabu } *2
Verse 2
Kwanza Mungu umeniumba mimi kwa upendeleo mwingi, sana,
Kati ya viumbe vyote, viumbe vyote, viumbe vyote
Verse 3
Nitakushukuru kwa sababu, umenijalia akili, pia,
Na utashi wa kujua mema mabaya mema mabaya