SectionsEucharistNitajongea Meza Yako

Nitajongea Meza Yako

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Nitajongea meza yako, ee Bwana

Nitajongea meza yako, ee Bwana, Bwana nipokee nakuja

Chorus

{ Ninakuja kwako, ee Bwana (kweli)

Nikakupokee, ee Bwana

Kwani wewe ndiwe uzima } *2

Verse 3

Chakula kina uzima, ee Bwana

Huwashibisha wenye njaa, Bwana nipokee nakuja

Verse 4

Kinywaji kina uzima, ee Bwaba

Huwashibisha wenye kiu, Bwana nipokee nakuja

Verse 5

Ni meza yenye mapendo, ee Bwana

Yenye kuleta amani, ee Bwana, Bwana nipokee nakuja