Nitajongea Meza Yako
Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Verse 1
Nitajongea meza yako, ee Bwana
Nitajongea meza yako, ee Bwana, Bwana nipokee nakuja
Chorus
{ Ninakuja kwako, ee Bwana (kweli)
Nikakupokee, ee Bwana
Kwani wewe ndiwe uzima } *2
Verse 3
Chakula kina uzima, ee Bwana
Huwashibisha wenye njaa, Bwana nipokee nakuja
Verse 4
Kinywaji kina uzima, ee Bwaba
Huwashibisha wenye kiu, Bwana nipokee nakuja
Verse 5
Ni meza yenye mapendo, ee Bwana
Yenye kuleta amani, ee Bwana, Bwana nipokee nakuja